• Login
    View Item 
    •   Mak UD Home
    • College of Education and External Studies (CEES)
    • School of Education (SEd.)
    • School of Education (SEd.) Collection
    • View Item
    •   Mak UD Home
    • College of Education and External Studies (CEES)
    • School of Education (SEd.)
    • School of Education (SEd.) Collection
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Nafasi ya methali na misemo katika ujenzi wa maudhui katika tamthilia za kiswahili; mfano wa tamthilia za mzalendo kimathi na kilio cha haki

    Thumbnail
    View/Open
    Undergraduate dissertation (518.1Kb)
    Date
    2022-05-03
    Author
    sulaiman, tugume
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Utafiti huu unahusu Nafasi ya methali na misemo katika ujenzi wa maudhui katika tamthilia za kiswahili; mfano wa tamthilia za mzalendo kimathi na kilio cha haki. Lengo kuu la Utafiti huu ni kunachunguza nafasi ya misemo na methali kwa kujenga maudhui katika tamthilia za kiswahili kwa kutumia mfano wa Mzalendo kimathi na Kilio cha haki. Katika kufika lengo la utafiti huu, nimetumia nadharia ya kimaadili na nadharia ya elimu mtindo kwa lengo la kuchambua methali na misemo na maudhui zinzazo yajenga Nimegunduwa kwamba wandishi wa tamthilia hizi mbili yaani mzalendo kimathi na kilio cha haki walutumia mesemo na methalj katika kujenga maudhui mbali mbali na pia kuboresha kazi zao za kifasihi. Tukiona mfano moja ni kutoka katika kilio cha haki ambapo Mwandishi Alamin Mazrui ametumia methali ya dalili ya mvua ni mawingu ili kujenga maudhui ya utamaduni na siasa katika tamthilia hiyo ya kilio cha haki. Katika tamthilia ya mzalendo kimathi tunamuona mwandishi Ngugi wa thiongo na Micere Mugo wakitumia msemo wa Haki ni nguvu kujenga mudhui ya ukoloni, Uzalendo na pia ushuja yaani Herseson Anamuelezea Kimathi kwamba hata yeye hange kubali haki yake ichukuliwe na atafanya kila liwekanalo kizitetea gaki zake kama Mkenya kwasababu ameishi Nyeri kwa mda mrefu. Najwahivyo, ili kukamilisha malengo ya utafiti huu,, data za utafiti zilikusanywa kwa kutumia mbinu ya usomaji wa machapisho. Matokeo ya utafiti huu yanaonesha kwamba Waandishi wa Tamthilua wana tumia fani kadha kujenga maudhui yao na fani zilizozingatiwa katika utafiti huu zilikuwa misemo na methali. Utafiti huu umeonyesha vile vipengele vya fani yaani methali na misemo vilivyo tumiwa kujenga maudhui. Kwa hivyo, ninahitimisha kwamba methali na misemo zina nafasi kubwa katika kujenga maudhui katika tamthilia za kiswahili
    URI
    http://hdl.handle.net/20.500.12281/12291
    Collections
    • School of Education (SEd.) Collection

    DSpace 5.8 copyright © Makerere University 
    Contact Us | Send Feedback
    Theme by 
    Atmire NV
     

     

    Browse

    All of Mak UDCommunities & CollectionsTitlesAuthorsBy AdvisorBy Issue DateSubjectsBy TypeThis CollectionTitlesAuthorsBy AdvisorBy Issue DateSubjectsBy Type

    My Account

    LoginRegister

    Statistics

    Most Popular ItemsStatistics by CountryMost Popular Authors

    DSpace 5.8 copyright © Makerere University 
    Contact Us | Send Feedback
    Theme by 
    Atmire NV