Search
Now showing items 1-10 of 20
Dhima ya tafsiri katika ujifunzaji wa Kiswahili kama lugha ya pili katika shule za sekondari nchini Uganda
(Makerere University, 2020)
Utafii huu ulichunguza namna tafsiri inavyowezekana kufanikisha Ujifunzaji wa lugha ya Kiswahili Kama lugha ya pili katika shule za upili za sekondari chini Uganda. Utafiti huu umezingatia hali na mazingira ambapo kutafsiri ...
Ulinganishi wa nahau za Kiswahili na za Kingereza Kisemantic
(Makerere University, 2020)
Katika utafiti huu, mtafiti alijitahidi kushughulikia maarifa yanayohusu tofauti na mfanano uliyopo kati ya Nahau za Kiswahili na za Kingereza kwa kuegemea upande wa semantiki. Tasnifu hii itakuwa katika sehemu tatu
Athari ya lugha ya kwanza katika ujifunzaji wa insha za Kiswahili kwa wasomi wa kidato cha tatu nchini Uganda
(Makerere University, 2021)
The importance of the first language in the studying of Kiswahili Language. The researcher found out different ways of how the first language have influenced the study of composition writing amongst students of senior three ...
Matumizi ya mbinu za tashbihi na jazanda katika tamthilia za Kiswahili
(Makerere University, 2020-12)
Lengo la jumla:
Kutathmini mbinu ya tashbihi na jazanda katika tamthilia teule ili kubaini vipengele vinavyotofautiana na vinavyofanana katika kutumia lugha ili kufikisha ujumbe katika mkabala wa fasihi linganishi.
Malengo ...
Athari za kifonolojia za kinyankore katika kujifunza katika kiswahili, mintarafu stadi ya kusoma
(Makerere University, 2022-03)
Awali ya yote anayestahiki kushukuriwa ni Mwenyezi, Mungu kwa kuniumba, kunikuza na kunipa afya nzuri, uvumilivu, busara na hekima ya kufanya kazi hii hadi kuimaliza. NamwombaMungu anijalie ziada za kheri.
Pili, shukrani ...
Ukarimu wa lugha ya kiswahili katika nyanja a Biashara.
(Makerere University, 2022-02-17)
Naitabaruku kazi hii kwa wazazi wangu wapendwa Bw. Saipuma Edson na Mama wangu Bi. Masika Moreen kwa imani waliyo nayo katika uwezo wangu. Pia kwa watu wengine walionisaidia kwa kujitolea ilinifanikishe masomo yangu.
Ulinganishaji wa methaliza kiswahili na kinyankole katika kiwango cha sintaksia
(Makerere University, 2022-10)
Ulinganishaji wa methaliza kiswahili na kinyankole katika kiwango cha sintaksia
Mchango ya midahalo katika ufundishaji wa lugha ya Kiswahili
(Makerere University, 2022-02)
Kuchunguza michango ya midahalo katika ufundishaji wa lugha ya kiswahili
Ulinganishaji wa hadhi ya mwanamke Mswahili na Mmeru katika fasihi ya Kiswahili kwa kurejelea tamthilia za Zaribu Chungu na Natala
(Makerere University, 2022-11-04)
Utafiti huu unashugulikia kuchambua hadhi ya mwana mke katika tamthilia za zabibu
chungu na natala katika hali ya kuchambua suala ya utafitia katika vitabu teule ambayo
tulitambua ya kwamba mwanamke amepewa hadhi ya ...
Uchambuzi wa tamthilia ya Mkwamo na Kilio Cha Haki kwa kutumia nadharia ya Umaksi
(Makerere University, 2022-11-29)
Lengo kuu la utafiti huu lilikuwa uchambuzi wa Tamthilia ya Mkwamo na Kilio cha Haki kwa kutumia Nadharia ya Umaksi. Malengo mahususi ya utafiti huu yalikuwa ni; udhihirishaji wa matumizi ya nadharia ya Umaksi katika ...