Nafasi ya lugha ya kwanza katika uundaji wa sentensi za Kiswahili: mfano kutoka lugha ya Kinyankore

dc.contributor.author Kenganzi, Lynet
dc.date.accessioned 2024-10-01T09:35:46Z
dc.date.available 2024-10-01T09:35:46Z
dc.date.issued 2024
dc.description Tasnifu ya utafiti inayowasilishwa katika taasisi ya Lugha Na Mawasiliano kitivo cha Lugha Za Kiafrika ili kutekeleza baadhi ya mahitaji ya shahada ya kwanza ya saana na Ualimu Ya Chuo Kikuu Cha Makerere. en_US
dc.description.abstract Wanafunzi wanaojifunza lugha ya pili hufanya makosa mengi yakiwemo matamshi mabaya ya maneno na makosa ya uundaji wa sentensi hasa wanaoounda sentensi katika lugha ya pili. Kutokana na hali hiyo, wanaisimu wamekuwa katika mstari wa mbele kubaini athari za lugha Moja katika lugha ya pili kwa kutumia kipengele cha sintaksia ambacho kinahusiana na uundaji wa sentensi katika lugha Fulani. Vitabu,nakala na machapisho anuai yanayohusu uundaji wa sentensi katika lugha ya Kiswahili yamerejelewa ili kuchunguza athari za lugha moja kwa uudaji wa sentensi za lugha ya pili. Lugha ya Kinyankore ilirejelewa kama lugha ya kwanza na Kiswahili kama lugha ya pili. Kwa muhtasari, kazi hii imemulika nafasi ya lugha ya Kinyankore katika uundaji wa sentensi za lugha ya Kiswahili. en_US
dc.identifier.citation Kenganzi, L. (2024). Nafasi ya lugha ya kwanza katika uundaji wa sentensi za Kiswahili: mfano kutoka lugha ya Kinyankore (Unpublished undergraduate dissertation). Makerere University, Kampala, Uganda. en_US
dc.identifier.uri http://hdl.handle.net/20.500.12281/18935
dc.language.iso other en_US
dc.publisher Makerere University en_US
dc.subject Kishwahili sentences en_US
dc.subject First language en_US
dc.subject Uganda en_US
dc.subject Runyankore en_US
dc.title Nafasi ya lugha ya kwanza katika uundaji wa sentensi za Kiswahili: mfano kutoka lugha ya Kinyankore en_US
dc.type Thesis en_US
Files