Ufaafu wa Istilahi za Kiswahili katika Vitabu Rasmi vya NCDC kwa Mtaala Mpya wa Umilisi nchini Uganda

dc.contributor.author Nizeyimana, Richard
dc.date.accessioned 2025-11-24T13:32:51Z
dc.date.available 2025-11-24T13:32:51Z
dc.date.issued 2025-10-13
dc.description Tasnifu iliyowasilishwa kwa idara ya lugha za kiafrika ili kutimiza baadhi ya mahitaji ya kuhitimu shahada ya ualimu ya chuo kikuu cha Makerere en_US
dc.description.abstract Utafiti huu unachunguza ufaafu wa istilahi za Kiswahili zinazotumika katika vitabu vya mtaala mpya wa umilisi wa shule za sekondari nchini Uganda ukizingatia vigezo vya PEGITOSCA na kanuni nyingine za usanifishaji wa istilahi za Kiswahili. Utafiti ulipima istilahi 50 kutoka vitabu rasmi vya NCDC (2020) ili kubaini ubora wake katika matumizi ya kielimu. Matokeo yalionyesha kuwa 70% ya istilahi ni faafu, ingawa changamoto kuu zilibainika katika umataifa, uangavu, na uchumi wa lugha. Mahojiano na walimu yalionyesha kuwa istilahi nyingi ni ndefu, ngumu kueleweka, na hazilingani na lugha ya mawasiliano darasani. Utafiti unahitimisha kuwa mfumo wa istilahi za Kiswahili katika mtaala wa NCDC una msingi thabiti wa kilugha, lakini unahitaji maboresho ya kimkakati ili kuongeza uwazi, urahisi wa matumizi, na mashiko ya kimataifa katika elimu ya sekondari. en_US
dc.description.sponsorship Windle International Uganda en_US
dc.identifier.citation Nizeyimana, R. (2025). Ufaafu wa Istilahi za Kiswahili katika Vitabu Rasmi vya NCDC kwa Mtaala Mpya wa Umilisi nchini Uganda (Unpublished undergraduate dissertation) Makerere University, Kampala, Uganda en_US
dc.identifier.uri http://hdl.handle.net/20.500.12281/21207
dc.language.iso other en_US
dc.publisher Makerere University en_US
dc.subject Istilahi za Kiswahili, Kiswahili Terminology, Terminology development, PEGITOSCA, NCDC books, Competency Based Curriculum, language policy, elimu ya kiswahili en_US
dc.title Ufaafu wa Istilahi za Kiswahili katika Vitabu Rasmi vya NCDC kwa Mtaala Mpya wa Umilisi nchini Uganda en_US
dc.type Other en_US
Files