Nafasi ya teknolojia katika ujifunzaji wa Kiswahili kwa kuzingatia mtaala wa umilisi wa shule za upili nchini Uganda

dc.contributor.author Abono, Sharon
dc.date.accessioned 2024-12-09T08:11:39Z
dc.date.available 2024-12-09T08:11:39Z
dc.date.issued 2024
dc.description Tasnifu iliowasiliswa katika idara ya lugha za kiafrika ili kutimiza baadhi ya masharti ya kuhitimu shahada ya ualimu ya chuo kikuu cha Mukerere. en_US
dc.description.abstract Utafiti huu unalenga kuchambua nafasi ya teknolojia katika ujifunzaji wa Kiswahili Kwa kuzingatia Matala wa umilisi wa shule za upili nchini Uganda.Vilevile uchunguzi utazingatia vipengele vya teknolojia kama vile Kompyuta na Kompyuta kibao, programu za uandidshi na maadishi, matumizi ya mtando na zana za kurekodi sauti na video ili kuendeleza ujifunzaji wa Kiswahili.Matokeo ya utafiti huu yatatarajiwa kutoka mwanga juu ya faida ya Kiswahili katika kuboresha usitadi wa lugha ya Kiswahili Kwa wanfunzi na walimu.Utafiti uliowahi kufanyika hapo awali kuchuguza teknolojia na elimu , ulihusu Kiswahili katika kufundisha teknolojia katika shule za msingi nchini Tanzania na Kevogo (2018) en_US
dc.identifier.citation Abono, S. (2024). Nafasi ya teknolojia katika ujifunzaji wa Kiswahili kwa kuzingatia mtaala wa umilisi wa shule za upili nchini Uganda (Unpublished undergraduate dissertation). Makerere University, Kampala, Uganda. en_US
dc.identifier.uri http://hdl.handle.net/20.500.12281/19973
dc.language.iso other en_US
dc.publisher Makerere University en_US
dc.subject Kiswahili en_US
dc.title Nafasi ya teknolojia katika ujifunzaji wa Kiswahili kwa kuzingatia mtaala wa umilisi wa shule za upili nchini Uganda en_US
dc.type Thesis en_US
Files