• Login
    View Item 
    •   Mak UD Home
    • College of Education and External Studies (CEES)
    • School of Education (SEd.)
    • School of Education (SEd.) Collection
    • View Item
    •   Mak UD Home
    • College of Education and External Studies (CEES)
    • School of Education (SEd.)
    • School of Education (SEd.) Collection
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Jinsi mandhari yanavyosaidia kujenga maudhui katika riwaya za kiafrika

    Thumbnail
    View/Open
    Undergraduate dissertation (755.1Kb)
    Undergraduate dissertation (755.1Kb)
    Date
    2020-12
    Author
    Nuwamanya, Jonan
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Utafiti huu ulijadili jinsi mandhari yanavyosaidia kujenga maudhui katika riwaya za kiafrika. Hapa nilijaribu kuchunguza kwamba wakati mwandishi anapojaribu kuandika riwaya lazima azingatie mandhari ilia pate riwaya nzuri. Nilitumia riwaya nyingi za kiafrika ambazo zote nyingi zilikuwa zinazungumzia kuhusu ukoloni, ufisadi, ukoloni mamboleo ambayo yalikuwa ndio yanaongoza jamii ya afrika siku hizo. Mwishowe nikagundua kwamba maudhui yanapitakana baada ya kuelewa mandhari katika riwaya iliyoandikwa. Riwaya kadhaa zimetumiwa ili kumalizia utafiti wangu bora kwa mfano riwaya ya Msururu wa usaliti, Ndoto ya almasi na nyingine nyingi za kiafrika.
    URI
    http://hdl.handle.net/20.500.12281/11547
    Collections
    • School of Education (SEd.) Collection

    DSpace 5.8 copyright © Makerere University 
    Contact Us | Send Feedback
    Theme by 
    Atmire NV
     

     

    Browse

    All of Mak UDCommunities & CollectionsTitlesAuthorsBy AdvisorBy Issue DateSubjectsBy TypeThis CollectionTitlesAuthorsBy AdvisorBy Issue DateSubjectsBy Type

    My Account

    LoginRegister

    Statistics

    Most Popular ItemsStatistics by CountryMost Popular Authors

    DSpace 5.8 copyright © Makerere University 
    Contact Us | Send Feedback
    Theme by 
    Atmire NV