Nafasi ya tamathaliza usemi katika mziki.
Abstract
Sura ya kwanza inawasilisha usuli wa mada, suala la utafiti, malengo ya utafiti, maswali ya utafiti na umuhimu wa utafiti. Utafiti huu uihusu nafasi ya tamathali za usemi katika mziki kwa kurejelea nyimbo za waimbwji wawili marufuku; Diamond Platinumz kutoka nchini Tanzania na Joseph Mayanja kutoka nchini Uganda. Kwa hivyo niliwasilisha nyimbo nne za kila mwimbaji na kisha tukaainisha jinsi tamathali za usemi zilivyojitokeza.