• Login
    View Item 
    •   Mak UD Home
    • College of Education and External Studies (CEES)
    • School of Education (SEd.)
    • School of Education (SEd.) Collection
    • View Item
    •   Mak UD Home
    • College of Education and External Studies (CEES)
    • School of Education (SEd.)
    • School of Education (SEd.) Collection
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Usawiri wa mwanamke katika tamthilia ya kilio cha haki na chema chajiuza.

    Thumbnail
    View/Open
    Undergraduate dissertation (591.0Kb)
    Date
    2022-01-21
    Author
    Kwarakune, Osillia
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Andiko hili la mradi linalenga kuchunguza usawiri wa mwanamke katika tamthilia ya Kilio cha Haki na Chema Chajiuza. Mradi huu unalenga kugundua namna wanawake wanavyochukuliwa katika tamthilia hizo mbili kwa sababu muda ambao zimepishana ni mwingi sana yaani Kilio cha Haki (1981) na Chema Chajiuza (2018). Lengo la mradi huu limeshughulikiwa ipasavyo baada ya kukusanya data za mradi kwa kutumia mbinu za usomaji makini na upitiaji wa nyaraka. Matokeo ya mradi yamebainishwa kuwa mwanamke amesawiriwa kwa nafasi mbili yaani chanya na hasi kama vile; mlezi, mfanya kazi na bidii Jasiri, mtiifu, mwadilifu, mvumilivu, mwoga, chombo cha kustarehesha mwanamume na kadhalik
    URI
    http://hdl.handle.net/20.500.12281/13034
    Collections
    • School of Education (SEd.) Collection

    DSpace 5.8 copyright © Makerere University 
    Contact Us | Send Feedback
    Theme by 
    Atmire NV
     

     

    Browse

    All of Mak UDCommunities & CollectionsTitlesAuthorsBy AdvisorBy Issue DateSubjectsBy TypeThis CollectionTitlesAuthorsBy AdvisorBy Issue DateSubjectsBy Type

    My Account

    LoginRegister

    Statistics

    Most Popular ItemsStatistics by CountryMost Popular Authors

    DSpace 5.8 copyright © Makerere University 
    Contact Us | Send Feedback
    Theme by 
    Atmire NV