Show simple item record

dc.contributor.authorUwamahoro, Brandinah
dc.date.accessioned2023-11-09T09:08:05Z
dc.date.available2023-11-09T09:08:05Z
dc.date.issued2023-09
dc.identifier.citationUwamahoro, B. (2023). Mchango wa wanawake wa kuleta ukombozi katika tamthilia ya Kigogo na Kimya kimya kimya (Unpublished undergraduate dissertation). Makerere University, Kampala, Uganda.en_US
dc.identifier.urihttp://hdl.handle.net/20.500.12281/16961
dc.descriptionTasinifu ya Utafiti Iliyowasilishwa Katika Idara ya Lugha za Kiafrika Kutimiza Baadhi ya Mahitaji ya Shahada ya Kwanza ya Chuo Kikuu cha Makerere.en_US
dc.description.abstractTafiti nyingi za fasihi ya Kiswahili zimemhusu mhusika mwanamke kwa ujumla. Kipyegon (2013) katika tasnifu yake, "Nafasi na utambulisho wa mwanamke katika Natala na Kifo Kisimani", amesawiri mwanamke akinyanyaswa katika anavyochukiwa katika jamii. Licha ya hayo, juhudi za mwanamke za kujikomboa na kupata hadhi katika jamii zimeangazia. Aidha tafiti chache kama vile za Kimani (2003), Wegesa (1994), Lugano (1985 na 1998) miongoni mwa wengine zimeonyesha kuwa mwanamke amedharauliwa kwa kupigwa, kutawishwa, kutukanwa, kubakwa na kadhalika. Dhuluma hizi zimewaathari wanawake kwa njia mbalimbali kama vile ndoa zao kuvunjika, kukumbwa na upweke na kuasi. Kwa hivyo utafiti huu ulichochewa kuchunguza na kufafanua juhudi za wanawake katika kupigania ukombozi na changamoto wanazokutana nazo. Pia, kubainisha vichochezi vinavyowasukuma wanawake katika mchakato huu mzima.en_US
dc.language.isootheren_US
dc.publisherMakerere Universityen_US
dc.subjectKULETA UKOMBOZIen_US
dc.titleMchango wa wanawake wa kuleta ukombozi katika tamthilia ya Kigogo na Kimya kimya kimyaen_US
dc.typeThesisen_US


Files in this item

Thumbnail

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record